Zaburi 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndiyo sababu waovu hawatasimama katika hukumu,+Wala watenda-dhambi katika kusanyiko la waadilifu.+ 1 Wakorintho 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 ili mwili wowote usijisifu+ machoni pa Mungu.