-
2 Wafalme 10:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Alipokuwa akiondoka mahali hapo, alikutana na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu+ akija kumpokea. Yehu akamsalimia* na kumuuliza: “Je, moyo wako ni kamili* kunielekea, kama moyo wangu ulivyo kamili kukuelekea?”
Yehonadabu akajibu: “Ndiyo.”
“Ikiwa ndivyo, nipe mkono wako.”
Kwa hiyo akampa mkono wake, na Yehu akamvuta na kumpandisha kwenye gari lake.
-