Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:171
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 171 Midomo yangu na ibubujike sifa,+

      Kwa maana unanifundisha masharti yako.+

  • Methali 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ili kuelewa methali na mafumbo,+ maneno ya watu wenye hekima+ na vitendawili vyao.+

  • Methali 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kilindi cha maji.+ Kisima cha hekima ni kijito cha maji yanayobubujika.+

  • Ezekieli 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, tega kitendawili+ na utunge neno la kimethali kuelekea nyumba ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki