Ezekieli 20:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Wanasema juu yangu, ‘Je, yeye hatungi maneno ya kimethali?’ ”+ Hosea 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nilisema na manabii,+ nikazidisha maono, nikaendelea kutoa mifano kupitia mkono wa manabii.+ Mathayo 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndiyo sababu ninasema nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wakitazama, wanatazama bure, na wakisikia, wanasikia bure, wala hawaelewi;+
49 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Wanasema juu yangu, ‘Je, yeye hatungi maneno ya kimethali?’ ”+
13 Ndiyo sababu ninasema nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wakitazama, wanatazama bure, na wakisikia, wanasikia bure, wala hawaelewi;+