Mhubiri 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Maneno ya wenye hekima ni kama michokoo ya kuongoza ng’ombe,+ na kama tu misumari iliyopigiliwa ndani,+ ndivyo walivyo wale wanaoshughulika mno kukusanya maneno; wametolewa kutoka kwa mchungaji mmoja.+
11 Maneno ya wenye hekima ni kama michokoo ya kuongoza ng’ombe,+ na kama tu misumari iliyopigiliwa ndani,+ ndivyo walivyo wale wanaoshughulika mno kukusanya maneno; wametolewa kutoka kwa mchungaji mmoja.+