Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 45:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi sasa si ninyi ambao mlinileta hapa,+ ila ni Mungu wa kweli, ili aniweke niwe baba+ kwa Farao na bwana kwa nyumba yake yote na kuwa mtawala katika nchi yote ya Misri.

  • Danieli 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jambo hilo ni kulingana na agizo la walinzi,+ na ombi hilo ni kulingana na neno la watakatifu, kusudi watu wanaoishi wajue kwamba Aliye Juu Zaidi ni Mtawala katika ufalme wa wanadamu+ na kwamba humpa yeyote yule amtakaye ufalme huo,+ na humweka juu yake mwanadamu aliye wa hali ya chini zaidi.”+

  • Luka 22:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Nilipokuwa pamoja nanyi katika hekalu+ siku baada ya siku hamkunyoosha mikono yenu ili kunikamata.+ Lakini hii ndiyo saa+ yenu na ndiyo mamlaka+ ya giza.”+

  • Yohana 7:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa hiyo wakaanza kutafuta kumkamata,+ lakini hakuna aliyemkamata, kwa sababu saa+ yake ilikuwa haijafika bado.

  • Yohana 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakuna mtu ambaye ameichukua kutoka kwangu, bali ninaitoa kwa uamuzi wangu mwenyewe. Nina mamlaka ya kuitoa, nami nina mamlaka ya kuipokea tena.+ Amri+ kuhusu hili niliipokea kutoka kwa Baba yangu.”

  • Waroma 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo yeye anayepinga mamlaka amechukua msimamo kupingana na mpango wa Mungu; wale ambao wamechukua msimamo kupingana nao watapokea hukumu juu yao wenyewe.+

  • Ufunuo 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye akapewa ruhusa+ ya kupigana vita na watakatifu na kuwashinda,+ naye akapewa mamlaka juu ya kila kabila na watu na lugha na taifa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki