Waamuzi 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Mika akamwambia: “Kaa pamoja na mimi, uwe kama baba+ na kuhani+ kwangu, nami nitakupa vipande kumi vya fedha kwa mwaka na mavazi ya kawaida na chakula chako.” Ndipo Mlawi huyo akaingia ndani. Ayubu 29:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nilikuwa baba halisi kwa walio maskini;+Na kesi ya mtu nisiyemjua nilikuwa nikiichunguza.+ Zaburi 105:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Akamweka kuwa bwana wa nyumba yake+Na kuwa mtawala juu ya mali yake yote,+
10 Basi Mika akamwambia: “Kaa pamoja na mimi, uwe kama baba+ na kuhani+ kwangu, nami nitakupa vipande kumi vya fedha kwa mwaka na mavazi ya kawaida na chakula chako.” Ndipo Mlawi huyo akaingia ndani.