Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Wewe binafsi utaisimamia nyumba yangu,+ na watu wangu wote watakutii kabisa.+ Mimi nitakuwa mkuu kuliko wewe katika kiti cha ufalme tu.”+

  • 1 Samweli 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ni Mwenye Kuinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini;+

      Humwinua maskini kutoka katika shimo la majivu,+

      Ili awafanye wakae pamoja na watu wenye vyeo; naye huwapa urithi+ wa kiti cha ufalme cha utukufu.+

      Kwa maana nguzo za dunia+ ni za Yehova,

      Naye huiweka nchi yenye kuzaa juu ya hizo.

  • Ayubu 36:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Hataondoa macho yake juu ya mtu yeyote aliye mwadilifu;+

      Hata wafalme juu ya kiti cha ufalme+—

      Yeye pia atawaketisha milele, nao watainuliwa.

  • Danieli 2:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Basi mfalme akamfanya Danieli kuwa mtu mkuu,+ akampa zawadi nyingi kubwa, naye akamfanya kuwa mtawala juu ya wilaya yote ya utawala ya Babiloni na mkuu wa manaibu wa maliwali juu ya watu wote wenye hekima wa Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki