8 Basi sasa si ninyi ambao mlinileta hapa,+ ila ni Mungu wa kweli, ili aniweke niwe baba+ kwa Farao na bwana kwa nyumba yake yote na kuwa mtawala katika nchi yote ya Misri.
21 Nami nitamvika kanzu yako, nitamfunga imara ukumbuu wako,+ nitaitia mkononi mwake mamlaka yako; naye lazima awe baba kwa mkaaji wa Yerusalemu na kwa nyumba ya Yuda.+