18 Na wakuu wa makuhani na waandishi wakasikia, nao wakaanza kutafuta jinsi ya kumwangamiza;+ kwa maana walikuwa wakimwogopa, kwa maana umati wote sikuzote ulikuwa ukistaajabishwa na mafundisho yake.+
47 Zaidi ya hayo, akawa akifundisha kila siku katika hekalu. Lakini wakuu wa makuhani na waandishi na wakuu kati ya watu walikuwa wakitafuta kumwangamiza;+