Mathayo 21:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Lakini, ijapokuwa walikuwa wakitafuta kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+ Luka 19:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 na bado hawakufanikiwa, kwa maana watu wote walikuwa wakishikamana sana naye ili wamsikie.+
46 Lakini, ijapokuwa walikuwa wakitafuta kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+