Marko 12:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Daudi mwenyewe anamwita ‘Bwana,’ lakini inawezekanaje kwamba yeye ni mwana wake?”+ Na umati mkubwa ulikuwa ukimsikiliza kwa furaha.+ Luka 21:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na watu wote+ walikuwa wakimjia asubuhi katika hekalu ili wamsikie.
37 Daudi mwenyewe anamwita ‘Bwana,’ lakini inawezekanaje kwamba yeye ni mwana wake?”+ Na umati mkubwa ulikuwa ukimsikiliza kwa furaha.+