Marko 12:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Daudi mwenyewe anamwita ‘Bwana,’ lakini inawezekanaje kwamba yeye ni mwana wake?”+ Na umati mkubwa ulikuwa ukimsikiliza kwa furaha.+ Luka 19:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 na bado hawakufanikiwa, kwa maana watu wote walikuwa wakishikamana sana naye ili wamsikie.+
37 Daudi mwenyewe anamwita ‘Bwana,’ lakini inawezekanaje kwamba yeye ni mwana wake?”+ Na umati mkubwa ulikuwa ukimsikiliza kwa furaha.+