Mathayo 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Umati ukawa ukisema: “Huyu ndiye nabii+ Yesu, kutoka Nazareti ya Galilaya!” Marko 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakaanza kutafuta jinsi ya kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba alitoa mfano huo juu yao. Kwa hiyo wakamwacha, wakaenda zao.+ Yohana 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mafarisayo walisikia umati wakinong’onezana mambo hayo juu yake, nao wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakatuma maofisa wamkamate.+ Yohana 7:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kwa hiyo baadhi ya umati ambao walisikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ni Yule Nabii.”+
12 Ndipo wakaanza kutafuta jinsi ya kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba alitoa mfano huo juu yao. Kwa hiyo wakamwacha, wakaenda zao.+
32 Mafarisayo walisikia umati wakinong’onezana mambo hayo juu yake, nao wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakatuma maofisa wamkamate.+
40 Kwa hiyo baadhi ya umati ambao walisikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ni Yule Nabii.”+