Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Umati ukawa ukisema: “Huyu ndiye nabii+ Yesu, kutoka Nazareti ya Galilaya!”

  • Marko 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo wakaanza kutafuta jinsi ya kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba alitoa mfano huo juu yao. Kwa hiyo wakamwacha, wakaenda zao.+

  • Yohana 7:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mafarisayo walisikia umati wakinong’onezana mambo hayo juu yake, nao wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakatuma maofisa wamkamate.+

  • Yohana 7:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa hiyo baadhi ya umati ambao walisikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ni Yule Nabii.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki