Mathayo 21:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Lakini, ijapokuwa walikuwa wakitafuta kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+ Luka 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi woga+ ukawashika wote, nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakisema: “Nabii+ mkuu ameinuliwa katikati yetu,” na, “Mungu amewaelekezea watu wake uangalifu wake.”+ Luka 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akawaambia: “Mambo gani?” Wakamwambia: “Yale mambo kuhusu Yesu Mnazareti,+ aliyekuwa nabii+ mwenye nguvu katika kazi na neno mbele za Mungu na watu wote;
46 Lakini, ijapokuwa walikuwa wakitafuta kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+
16 Basi woga+ ukawashika wote, nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakisema: “Nabii+ mkuu ameinuliwa katikati yetu,” na, “Mungu amewaelekezea watu wake uangalifu wake.”+
19 Naye akawaambia: “Mambo gani?” Wakamwambia: “Yale mambo kuhusu Yesu Mnazareti,+ aliyekuwa nabii+ mwenye nguvu katika kazi na neno mbele za Mungu na watu wote;