14Siku mbili kabla ya pasaka+ na sherehe+ ya keki zisizo na chachu,+ wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta jinsi ya kumkamata kwa hila na kumuua;+
47 Zaidi ya hayo, akawa akifundisha kila siku katika hekalu. Lakini wakuu wa makuhani na waandishi na wakuu kati ya watu walikuwa wakitafuta kumwangamiza;+
19 Waandishi na wakuu wa makuhani sasa wakatafuta kunyoosha mkono ili wamkamate saa ileile, lakini waliwaogopa watu; kwa maana walifahamu kwamba alisema mfano huo juu yao.+