Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Siku mbili kabla ya pasaka+ na sherehe+ ya keki zisizo na chachu,+ wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta jinsi ya kumkamata kwa hila na kumuua;+

  • Luka 19:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Zaidi ya hayo, akawa akifundisha kila siku katika hekalu. Lakini wakuu wa makuhani na waandishi na wakuu kati ya watu walikuwa wakitafuta kumwangamiza;+

  • Luka 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Waandishi na wakuu wa makuhani sasa wakatafuta kunyoosha mkono ili wamkamate saa ileile, lakini waliwaogopa watu; kwa maana walifahamu kwamba alisema mfano huo juu yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki