Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+

      Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+

  • Luka 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mara ya tatu akawaambia: “Kwa nini, ni jambo gani baya alilofanya mtu huyu? Mimi sikuona jambo lolote linalostahili kifo ndani yake; kwa hiyo nitamwadhibu na kumfungua.”+

  • Yohana 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini ni ili neno lililoandikwa katika Sheria yao lipate kutimizwa, ‘Walinichukia bila sababu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki