2 Samweli 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Shimei akalaani akisema: “Ondoka, ondoka, wewe mtu mwenye hatia ya damu+ na asiyefaa kitu!+ Hosea 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Efraimu amenizunguka kwa maneno ya uwongo,+ na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu. Lakini Yuda bado anatembea pamoja na Mungu,+ naye ni mwaminifu kwa aliye Mtakatifu Zaidi.”
12 “Efraimu amenizunguka kwa maneno ya uwongo,+ na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu. Lakini Yuda bado anatembea pamoja na Mungu,+ naye ni mwaminifu kwa aliye Mtakatifu Zaidi.”