Zaburi 59:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+Na wakamatwe katika kiburi chao,+Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza. Zaburi 140:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wameunoa ulimi wao kama ule wa nyoka;+Sumu ya kipiri-pembe iko chini ya midomo yao.+ Sela.
12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+Na wakamatwe katika kiburi chao,+Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza.