Yeremia 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mimi ninakaza fikira zangu juu yao. Vijana watakufa kwa upanga.+ Wana wao na binti zao watakufa kwa njaa.+ Maombolezo 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+
22 kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mimi ninakaza fikira zangu juu yao. Vijana watakufa kwa upanga.+ Wana wao na binti zao watakufa kwa njaa.+
21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+