Zaburi 88:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Aliyewekwa huru katikati ya wafu,+Kama waliouawa ambao wanalala kaburini,+Ambao huwakumbuki tenaNa ambao wametenganishwa na mkono wako wenye kusaidia.+ Zaburi 143:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana adui ameifuatilia nafsi yangu;+Ameuponda uhai wangu mpaka chini.+Amenifanya nikae katika mahali penye giza kama wale waliokufa kwa wakati usio na kipimo.+
5 Aliyewekwa huru katikati ya wafu,+Kama waliouawa ambao wanalala kaburini,+Ambao huwakumbuki tenaNa ambao wametenganishwa na mkono wako wenye kusaidia.+
3 Kwa maana adui ameifuatilia nafsi yangu;+Ameuponda uhai wangu mpaka chini.+Amenifanya nikae katika mahali penye giza kama wale waliokufa kwa wakati usio na kipimo.+