Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:66
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Nawe hakika utakuwa katika hatari kubwa zaidi ya maisha yako na kuwa katika hofu usiku na mchana, nawe hutakuwa na hakika ya uhai wako.+

  • Isaya 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na itatukia kwamba yeyote anayeikimbia sauti ya kitu kinachotia hofu ataanguka katika shimo, na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.+ Kwa maana milango ya maji ambayo iko juu itafunguliwa,+ na misingi ya nchi itatikisika.+

  • Yeremia 48:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 ‘Yeyote anayekimbia kwa sababu ya hofu ataanguka ndani ya shimo; na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.’+

      “‘Kwa maana nitaleta juu yake, juu ya Moabu, mwaka wa kuwakazia fikira,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki