Kumbukumbu la Torati 28:66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Nawe hakika utakuwa katika hatari kubwa zaidi ya maisha yako na kuwa katika hofu usiku na mchana, nawe hutakuwa na hakika ya uhai wako.+ Isaya 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na itatukia kwamba yeyote anayeikimbia sauti ya kitu kinachotia hofu ataanguka katika shimo, na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.+ Kwa maana milango ya maji ambayo iko juu itafunguliwa,+ na misingi ya nchi itatikisika.+ Yeremia 48:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 ‘Yeyote anayekimbia kwa sababu ya hofu ataanguka ndani ya shimo; na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.’+ “‘Kwa maana nitaleta juu yake, juu ya Moabu, mwaka wa kuwakazia fikira,’+ asema Yehova.
66 Nawe hakika utakuwa katika hatari kubwa zaidi ya maisha yako na kuwa katika hofu usiku na mchana, nawe hutakuwa na hakika ya uhai wako.+
18 Na itatukia kwamba yeyote anayeikimbia sauti ya kitu kinachotia hofu ataanguka katika shimo, na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.+ Kwa maana milango ya maji ambayo iko juu itafunguliwa,+ na misingi ya nchi itatikisika.+
44 ‘Yeyote anayekimbia kwa sababu ya hofu ataanguka ndani ya shimo; na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.’+ “‘Kwa maana nitaleta juu yake, juu ya Moabu, mwaka wa kuwakazia fikira,’+ asema Yehova.