Ayubu 42:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndiyo sababu ninayatangua niliyosema,Nami ninatubu+ katika mavumbi na majivu.” Ezekieli 16:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 ili ukumbuke na kuona aibu+ nawe usije kamwe kuwa na sababu ya kufungua kinywa+ chako kwa sababu ya kufedheheka kwako, nitakapofanya upatanisho+ kwa ajili yako kwa sababu ya yote ambayo umetenda,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
63 ili ukumbuke na kuona aibu+ nawe usije kamwe kuwa na sababu ya kufungua kinywa+ chako kwa sababu ya kufedheheka kwako, nitakapofanya upatanisho+ kwa ajili yako kwa sababu ya yote ambayo umetenda,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”