6 Nami nikasema:+ “Ee Mungu wangu, naona aibu+ na haya+ kukuinulia uso wangu, Ee Mungu wangu, kwa maana makosa+ yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imeongezeka sana hata kufika mbinguni.+
31 Nanyi mtakumbuka njia zenu mbaya na matendo yenu ambayo hayakuwa mazuri,+ nanyi mtachukizwa na nafsi zenu wenyewe kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ya machukizo yenu.+