Ezra 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasema:+ “Ee Mungu wangu, naona aibu+ na haya+ kukuinulia uso wangu, Ee Mungu wangu, kwa maana makosa+ yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imeongezeka sana hata kufika mbinguni.+ Ayubu 40:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Tazama! Nimekuwa kitu kisicho na maana.+Nitakujibu nini?Nimeuweka mkono wangu juu ya kinywa changu.+ Zaburi 51:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Dhabihu kwa Mungu ni roho iliyovunjika;+Moyo uliovunjika na kupondwa, Ee Mungu, hutaudharau.+
6 Nami nikasema:+ “Ee Mungu wangu, naona aibu+ na haya+ kukuinulia uso wangu, Ee Mungu wangu, kwa maana makosa+ yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imeongezeka sana hata kufika mbinguni.+
4 “Tazama! Nimekuwa kitu kisicho na maana.+Nitakujibu nini?Nimeuweka mkono wangu juu ya kinywa changu.+