Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini wakamwambia: “Nyamaza. Weka mkono wako juu ya kinywa chako, na uende pamoja nasi, uwe baba+ na kuhani+ kwetu. Ni jambo gani lililo bora, wewe uendelee kuwa kuhani kwa nyumba ya mtu mmoja+ au kuwa kuhani kwa kabila na familia katika Israeli?”+

  • Ayubu 29:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wakuu wenyewe walizuia maneno,

      Nao walitia mkono juu ya vinywa vyao.+

  • Zaburi 39:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Niliendelea kuwa asiyeweza kusema;+ sikuweza kufungua kinywa changu,+

      Kwa maana wewe mwenyewe ulichukua hatua.+

  • Methali 30:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ikiwa umetenda bila kutumia akili kwa kujiinua mwenyewe,+ na ikiwa umekaza fikira zako juu ya jambo hilo, weka mkono wako kwenye kinywa chako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki