Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Absalomu husema: “Laiti mimi ningewekwa kuwa mwamuzi katika nchi,+ ili kila mtu aliye na kesi au hukumu aje kwangu! Ndipo hakika ningemtendea haki.”+

  • Esta 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 naye Hamani akawatangazia utukufu wa utajiri+ wake na hesabu kubwa ya wanawe+ na kila kitu ambacho mfalme alikuwa amemtukuza nacho na jinsi alivyokuwa amemwinua juu ya wakuu na watumishi wa mfalme.+

  • Methali 26:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, umemwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe?+ Kuna tumaini zaidi kwa mjinga+ kuliko kwake.

  • Waroma 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki