4 Na Absalomu husema: “Laiti mimi ningewekwa kuwa mwamuzi katika nchi,+ ili kila mtu aliye na kesi au hukumu aje kwangu! Ndipo hakika ningemtendea haki.”+
11 naye Hamani akawatangazia utukufu wa utajiri+ wake na hesabu kubwa ya wanawe+ na kila kitu ambacho mfalme alikuwa amemtukuza nacho na jinsi alivyokuwa amemwinua juu ya wakuu na watumishi wa mfalme.+
16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+