Kutoka 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Usiitamani nyumba ya mwenzako. Usimtamani mke wa mwenzako,+ wala mtumwa wake wala kijakazi wake wala ng’ombe-dume wake wala punda wake wala chochote cha mwenzako.”+ Methali 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usijiheshimu mwenyewe mbele ya mfalme,+ wala usisimame mahali pa wakuu.+ Marko 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 uzinzi, kutamani,+ matendo ya uovu, udanganyifu, mwenendo mpotovu,+ jicho lenye wivu, makufuru, majivuno, ukosefu wa akili.
17 “Usiitamani nyumba ya mwenzako. Usimtamani mke wa mwenzako,+ wala mtumwa wake wala kijakazi wake wala ng’ombe-dume wake wala punda wake wala chochote cha mwenzako.”+
22 uzinzi, kutamani,+ matendo ya uovu, udanganyifu, mwenendo mpotovu,+ jicho lenye wivu, makufuru, majivuno, ukosefu wa akili.