Zaburi 131:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 131 Ee Yehova, moyo wangu haukuwa na majivuno,+Wala macho yangu hayakuinuka juu sana;+Wala sikutembea katika mambo makuu mno,+Wala katika mambo yaliyo ya ajabu mno kwangu.+
131 Ee Yehova, moyo wangu haukuwa na majivuno,+Wala macho yangu hayakuinuka juu sana;+Wala sikutembea katika mambo makuu mno,+Wala katika mambo yaliyo ya ajabu mno kwangu.+