Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+

      Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+

  • Methali 27:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwingine na akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mgeni na afanye hivyo, wala si midomo yako mwenyewe.+

  • 2 Petro 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Huku wakiwaahidia uhuru,+ wao wenyewe ni watumwa wa uharibifu.+ Kwa maana yeyote anayeshindwa na mwingine hufanywa mtumwa na huyu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki