Zaburi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+ Methali 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwingine na akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mgeni na afanye hivyo, wala si midomo yako mwenyewe.+ 2 Petro 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Huku wakiwaahidia uhuru,+ wao wenyewe ni watumwa wa uharibifu.+ Kwa maana yeyote anayeshindwa na mwingine hufanywa mtumwa na huyu.+
2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+
2 Mwingine na akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mgeni na afanye hivyo, wala si midomo yako mwenyewe.+
19 Huku wakiwaahidia uhuru,+ wao wenyewe ni watumwa wa uharibifu.+ Kwa maana yeyote anayeshindwa na mwingine hufanywa mtumwa na huyu.+