Ezekieli 16:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Kisha utakumbuka na kuaibika sana usiweze kuufungua mdomo wako kwa sababu ya kufedheheka,+ nitakapofunika dhambi zako licha ya mambo yote ambayo umefanya,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
63 Kisha utakumbuka na kuaibika sana usiweze kuufungua mdomo wako kwa sababu ya kufedheheka,+ nitakapofunika dhambi zako licha ya mambo yote ambayo umefanya,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”