Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake. Zaburi 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Uwape kulingana na matendo yao+Na kulingana na ubaya wa mazoea yao.+Uwape kulingana na kazi ya mikono yao.+Uwalipe matendo yao wenyewe.+ Yeremia 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+ 2 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—
11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.
4 Uwape kulingana na matendo yao+Na kulingana na ubaya wa mazoea yao.+Uwape kulingana na kazi ya mikono yao.+Uwalipe matendo yao wenyewe.+
20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+
14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—