Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,

      Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.

  • Zaburi 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Uwape kulingana na matendo yao+

      Na kulingana na ubaya wa mazoea yao.+

      Uwape kulingana na kazi ya mikono yao.+

      Uwalipe matendo yao wenyewe.+

  • Yeremia 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+

  • 2 Timotheo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki