20 Na sasa, sikiliza, tafadhali, Ee bwana wangu mfalme. Tafadhali, ombi langu la kibali+ na lifike mbele yako, nawe usinirudishe katika nyumba ya Yehonathani+ mwandishi, nisije nikafa humo.”+
6 Nao wakamchukua Yeremia na kumtupa ndani ya tangi la maji la Malkiya+ mwana wa mfalme, lililokuwa katika Ua wa Walinzi.+ Hivyo wakamshusha Yeremia ndani kwa kamba. Basi hapakuwa na maji ndani ya lile tangi, bali matope; na Yeremia akaanza kuzama katika yale matope.+