Mwanzo 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 kisha wakamchukua na kumtupa ndani ya hilo shimo la maji.+ Wakati huo shimo hilo lilikuwa tupu; halikuwa na maji ndani yake. Zaburi 109:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao wananitendea mabaya kwa yaliyo mema+Na chuki kwa upendo wangu.+ Maombolezo 3:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Wamenyamazisha uhai wangu shimoni kwenyewe,+ nao wakaendelea kunitupia mawe.
24 kisha wakamchukua na kumtupa ndani ya hilo shimo la maji.+ Wakati huo shimo hilo lilikuwa tupu; halikuwa na maji ndani yake.