Zaburi 102:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana nimekula majivu kama mkate;+Navyo vitu ninavyokunywa nimevichanganya hata pamoja na kulia,+ Yeremia 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+
9 Kwa maana nimekula majivu kama mkate;+Navyo vitu ninavyokunywa nimevichanganya hata pamoja na kulia,+ Yeremia 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+
26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+