Zaburi 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+ Zaburi 80:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umewalisha mkate wa machozi,+Nawe unaendelea kuwafanya wanywe machozi kwa machozi kwa kiasi kikubwa.+
3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+
5 Umewalisha mkate wa machozi,+Nawe unaendelea kuwafanya wanywe machozi kwa machozi kwa kiasi kikubwa.+