Ayubu 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nacho kikitenda kwa majivuno,+ utaniwinda kama mwana-simba,+Nawe utajionyesha tena kuwa wa ajabu kwangu. Ayubu 38:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Wanapochutama mafichoni,+Au wanapoendelea kujilaza katika maficho ya kuvizia? Hosea 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mimi nitakuwa kama mwana-simba kwa Efraimu+ na kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni kwa nyumba ya Yuda. Mimi, mimi mwenyewe nitararua vipande-vipande nami nitaenda na kuchukulia mbali, na hapatakuwa na mkombozi.+
16 Nacho kikitenda kwa majivuno,+ utaniwinda kama mwana-simba,+Nawe utajionyesha tena kuwa wa ajabu kwangu.
14 Kwa maana mimi nitakuwa kama mwana-simba kwa Efraimu+ na kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni kwa nyumba ya Yuda. Mimi, mimi mwenyewe nitararua vipande-vipande nami nitaenda na kuchukulia mbali, na hapatakuwa na mkombozi.+