Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nacho kikitenda kwa majivuno,+ utaniwinda kama mwana-simba,+

      Nawe utajionyesha tena kuwa wa ajabu kwangu.

  • Ayubu 38:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Wanapochutama mafichoni,+

      Au wanapoendelea kujilaza katika maficho ya kuvizia?

  • Hosea 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana mimi nitakuwa kama mwana-simba kwa Efraimu+ na kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni kwa nyumba ya Yuda. Mimi, mimi mwenyewe nitararua vipande-vipande nami nitaenda na kuchukulia mbali, na hapatakuwa na mkombozi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki