Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nawe utawaokoa watu wanyenyekevu;+

      Bali macho yako, yako dhidi ya wenye majivuno, ili uwashushe.+

  • Ayubu 40:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Milipuko mikali ya hasira yako na imwagike,+

      Na uone kila mtu mwenye majivuno na umshushe chini.

  • Isaya 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+

  • Luka 1:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+

  • Yakobo 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki