2 Samweli 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nawe utawaokoa watu wanyenyekevu;+Bali macho yako, yako dhidi ya wenye majivuno, ili uwashushe.+ Ayubu 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Milipuko mikali ya hasira yako na imwagike,+Na uone kila mtu mwenye majivuno na umshushe chini. Isaya 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+ Luka 1:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+ Yakobo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+
11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+
51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+
6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+