29 Kunguruma kwao ni kama kule kwa simba, nao hunguruma kama wana-simba wenye manyoya shingoni.+ Nao watanguruma na kuyakamata mawindo na kuyapeleka salama, wala hapatakuwa na mkombozi.+
14 Na mahali pa kukimbilia pataangamia kutoka kwa yule aliye mwepesi,+ wala hakuna yeyote mwenye nguvu atakayeimarisha nguvu zake, wala hakuna mwanamume yeyote mwenye nguvu ambaye ataiponya nafsi yake.+