22 Lakini ni kikundi cha watu walioporwa na kunyakuliwa,+ wote wakiwa wamenaswa katika mashimo, nao wameendelea kufichwa katika nyumba za kizuizi.+ Wamekuwa kwa ajili ya kuporwa bila mkombozi,+ kwa ajili ya kunyakuliwa bila yeyote wa kusema: “Rudisha!”