Isaya 42:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini watu hawa ni watu walioporwa na kutekwa nyara;+Wote wamenaswa katika mashimo na kufichwa magerezani.+ Wameporwa na hakuna yeyote wa kuwaokoa,+Nao wametekwa nyara na hakuna yeyote wa kusema: “Warudisheni!” Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 42:22 ip-2 45 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 42:22 Unabii wa Isaya II, kur. 44-45
22 Lakini watu hawa ni watu walioporwa na kutekwa nyara;+Wote wamenaswa katika mashimo na kufichwa magerezani.+ Wameporwa na hakuna yeyote wa kuwaokoa,+Nao wametekwa nyara na hakuna yeyote wa kusema: “Warudisheni!”