Zaburi 102:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana yeye hutazama chini kutoka katika makao yake matakatifu yaliyo juu,+Kutoka mbinguni Yehova huitazama dunia,20 Ili asikie kilio cha maumivu cha mfungwa,+Ili awaweke huru wale waliohukumiwa kifo,+
19 Kwa maana yeye hutazama chini kutoka katika makao yake matakatifu yaliyo juu,+Kutoka mbinguni Yehova huitazama dunia,20 Ili asikie kilio cha maumivu cha mfungwa,+Ili awaweke huru wale waliohukumiwa kifo,+