61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+
Kwa sababu Yehova alinitia mafuta niwatangazie wapole habari njema.+
Alinituma kuyafunga majeraha ya waliovunjika moyo,
Kuwatangazia mateka uhuru
Na kutangaza kwamba macho ya wafungwa yatafunguliwa kabisa,+