Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 11:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yesu akawajibu: “Nendeni mkamwambie Yohana mambo mnayosikia na kuona:+ 5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+

  • Matendo 10:37, 38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Mnajua habari iliyozungumzwa kotekote huko Yudea, kuanzia Galilaya+ baada ya ubatizo aliohubiri Yohana: 38 kumhusu Yesu aliyetoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akapita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi,+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki