Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 4:17-21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi akapewa kitabu cha kukunjwa cha nabii Isaya, akakifungua na kupata mahali palipoandikwa: 18 “Roho ya Yehova* iko juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta ili niwatangazie maskini habari njema. Alinituma niwatangazie mateka uhuru na vipofu kuona tena, kuwaweka huru waliopondeka,+ 19 kuhubiri mwaka wa Yehova* unaokubalika.”+ 20 Ndipo akakikunja kitabu hicho na kumrudishia mtumishi, kisha akaketi; na wote katika sinagogi walikuwa wakimtazama kwa makini. 21 Akaanza kuwaambia: “Leo andiko hili ambalo mmetoka kusikia limetimia.”+

  • Luka 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kisha akawajibu: “Nendeni mkamwambie Yohana mambo mliyoona na kusikia. Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia,+ wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+

  • Matendo 26:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nitakuokoa kutoka kwa watu hawa na kutoka kwa mataifa ambayo ninakutuma kwao+ 18 ili kuwafungua macho,+ kuwageuza watoke gizani+ waingie kwenye nuru+ na watoke kwenye mamlaka ya Shetani+ wamgeukie Mungu, ili wasamehewe dhambi zao+ na kupata urithi miongoni mwa wale waliotakaswa kwa kuniamini mimi.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki