Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+

  • Isaya 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nchi yenu ni ukiwa,+ majiji yenu yameteketezwa kwa moto;+ udongo wenu—mbele ya macho yenu wageni+ wanaula,+ na ukiwa huo ni kama maangamizi yaliyofanywa na wageni.+

  • Yeremia 50:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki