Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 88:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Umeniweka katika shimo lililo katika vina vya chini kabisa,

      Katika mahali penye giza, katika abiso kubwa.+

  • Zaburi 116:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Lakini nikaliitia jina la Yehova:+

      “Ah, Yehova, uiokoe nafsi yangu!”+

  • Zaburi 130:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 130 Kutoka vilindini nimekuitia wewe, Ee Yehova.+

  • Yona 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na kusema:

      “Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+

      Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+

      Ulisikia sauti yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki