Zaburi 88:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Umeniweka katika shimo lililo katika vina vya chini kabisa,Katika mahali penye giza, katika abiso kubwa.+ Zaburi 116:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini nikaliitia jina la Yehova:+“Ah, Yehova, uiokoe nafsi yangu!”+ Zaburi 130:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 130 Kutoka vilindini nimekuitia wewe, Ee Yehova.+ Yona 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kusema:“Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+Ulisikia sauti yangu.+
6 Umeniweka katika shimo lililo katika vina vya chini kabisa,Katika mahali penye giza, katika abiso kubwa.+
2 na kusema:“Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+Ulisikia sauti yangu.+