Zaburi 143:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana adui ameifuatilia nafsi yangu;+Ameuponda uhai wangu mpaka chini.+Amenifanya nikae katika mahali penye giza kama wale waliokufa kwa wakati usio na kipimo.+
3 Kwa maana adui ameifuatilia nafsi yangu;+Ameuponda uhai wangu mpaka chini.+Amenifanya nikae katika mahali penye giza kama wale waliokufa kwa wakati usio na kipimo.+