Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake. Isaya 63:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa nini, Ee Yehova, unaendelea kutufanya tutange-tange kutoka katika njia zako? Kwa nini unafanya moyo wetu uwe mgumu ili usikuogope?+ Rudi kwa ajili ya watumishi wako, makabila ya fungu lako la urithi.+
11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.
17 Kwa nini, Ee Yehova, unaendelea kutufanya tutange-tange kutoka katika njia zako? Kwa nini unafanya moyo wetu uwe mgumu ili usikuogope?+ Rudi kwa ajili ya watumishi wako, makabila ya fungu lako la urithi.+