Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Pia, hakuna yeyote kati ya wale wanaokutumainia atakayeona aibu.+

      Wale wanaotenda kwa hila bila kupata mafanikio wataona aibu.+

  • Zaburi 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Na sasa, nimetumainia nini, Ee Yehova?

      Matarajio yangu yanakuelekea wewe.+

  • Zaburi 130:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nimetumainia, Ee Yehova, nafsi yangu imetumainia,+

      Nalo neno lake nimelingojea.+

  • Isaya 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na katika siku hiyo hakika mtu atasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu.+ Tumemtumaini yeye,+ naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova.+ Tumemtumaini yeye. Na tuwe na shangwe na kushangilia katika wokovu wake.”+

  • Isaya 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kwa hiyo Yehova ataendelea kutarajia kuwaonyesha ninyi kibali,+ na kwa hiyo atasimama ili kuwaonyesha ninyi rehema.+ Kwa maana Yehova ni Mungu wa hukumu.+ Wenye furaha+ ni wale wote wanaoendelea kumtarajia.+

  • Mika 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki